ISSN Chapishi: 2707-3467 | ISSN ya Mtandaoni: 2707-3475
DOI ya Jarida: https://doi.org/10.37284/2707-3475
Maendeleo ya Kiswahili kama lugha ni muhimu katika kukuza na kuhifadhi utamaduni wa kiasili, maarifa na dini katika mikoa inayozungumza Kiswahili barani Afrika. Jarida hili linalokaguliwa na wanarika kwa hivyo linachapisha nakala za Kiswahili tu. Nakala zinazoweza kuchapishwa chini ya jarida hili ni nakala kutoka kwa aina zote za maarifa isipokuwa zimeandikwa kwa lugha ya Kiswahili. Waandishi wanaowasilisha kwa jarida hili wanaweza kuamua kutafsiri nakala zao kwa Kiingereza na kuchapisha tafsiri katika majarida mengine yoyote tulio nayo.
PUBLISHER:
East African Nature and Science Organization,
P. O. Box 3975 - 00100, Nairobi, Kenya.
Makala
-
Mabadiliko Ya Hadithi Fupi Teule Za Kiswahili : Mkabala Wa Usasaleo
-
Mikabala Mbalimbali ya Uchanganuzi wa Sentensi Changamano za Kiswahili katika Vitabu vya Kiada vya Shule za Sekondari
-
Nafasi ya Muktadha katika Utendaji wa Mivigha ya Olubeko Miongoni mwa Abanyala wa Kakamega, Kenya
-
Mdhihirisho wa Mahusiano ya Uwezo katika Vikatuni vya Shujaaz: Uchanganuzi Makinifu wa Kidiskosi
-
Je, Kuna Matapo katika Fasihi Simulizi?
-
Changamoto Zinazowakumba Vijana katika Tamthilia ya Kitumbua Kimeingia Mchanga
-
Wingilugha na Maendeleo Endelevu katika Kaunti Nchini Kenya: Hali Halisi katika Kaunti ya Machako
-
Dhima ya Matambiko katika Jamii ya Waturkana
-
Sayansi katika Tamthiliya ya Kiswahili: Uchunguzi Kifani wa Tamthiliya ya Orodha
-
Ufungamano wa Itikadi na Propaganda katika Tamthilia za Maua Kwenye Jua la Asubuhi (2004) na Kifo Kisimani (2001)
-
Tathmini ya Taashira za Wahusika Katika Tamthilia ya Sudana
-
Utu wa Wahusika Viumbe wa Kiuhalisiajabu: Mtazamo wa Mwandishi Said Ahmed Mohamed
-
Utathmini wa Ujenzi wa Motifu ya Mgogoro wa Ardhi Kupitia Wahusika: Mfano Kutoka Chozi la Heri na Kovu Moyoni
-
Kubainisha Usawiri wa Ukahaba naWahusika Makahaba katika Riwaya ya Nyota ya Rehema na Ndoto ya Almasi
-
Tamathali za Usemi, Mbinu Rejeshi na Taswira katika Utenzi wa Vita vya Uhud
-
Sababu za Tofauti za Kimuundo katika Matumizi ya Sheng’ na Kiswahili Sanifu