ISSN Chapishi: 2707-3467 | ISSN ya Mtandaoni: 2707-3475
DOI ya Jarida: https://doi.org/10.37284/2707-3475
Maendeleo ya Kiswahili kama lugha ni muhimu katika kukuza na kuhifadhi utamaduni wa kiasili, maarifa na dini katika mikoa inayozungumza Kiswahili barani Afrika. Jarida hili linalokaguliwa na wanarika kwa hivyo linachapisha nakala za Kiswahili tu. Nakala zinazoweza kuchapishwa chini ya jarida hili ni nakala kutoka kwa aina zote za maarifa isipokuwa zimeandikwa kwa lugha ya Kiswahili. Waandishi wanaowasilisha kwa jarida hili wanaweza kuamua kutafsiri nakala zao kwa Kiingereza na kuchapisha tafsiri katika majarida mengine yoyote tulio nayo.
PUBLISHER:
East African Nature and Science Organization,
P. O. Box 3975 - 00100, Nairobi, Kenya.
Makala
-
Dhima ya Toponemia kama Utambulisho wa Jamii: mfano kutoka Jimbo Dogo la Maara Nchini Kenya
-
Mofolojia Isoshikanisho katika Kiswahili
-
Ukiukaji wa Kanuni Bia za Greenberg katika Miundo ya Tungo Zenye Vihusishi Katika Lugha ya Kiswahili
-
Uainishaji wa Mbinu na Viwango vya Usimulizi katika Uendelezaji wa Riwaya ya Kiswahili: Mfano wa Riwaya ya Bina-Adamu! na Babu Alipofufuka
-
Tathmini ya Matatizo ya Kiisimu na Kimtindo katika Matini Tafsiri za Kidini: Mfano Wa Njia Salama, Walioteliwa Na Vita Kuu
-
Tathmini ya Mbinu za Ufundishaji wa Masuala Mtambuko katika Mtaala wa Umilisi: Mfano wa Shule za Msingi Nchini Kenya
-
Matumizi ya Usohalisia wa Kihistografia katika Nyimbo Teule za Kisasa za Injili za Kikamba