Tokeo la Sasa
ISSN Chapishi: 2707-3467 | ISSN ya Mtandaoni: 2707-3475
DOI ya Jarida: https://doi.org/10.37284/2707-3475
Maendeleo ya Kiswahili kama lugha ni muhimu katika kukuza na kuhifadhi utamaduni wa kiasili, maarifa na dini katika mikoa inayozungumza Kiswahili barani Afrika. Jarida hili linalokaguliwa na wanarika kwa hivyo linachapisha nakala za Kiswahili tu. Nakala zinazoweza kuchapishwa chini ya jarida hili ni nakala kutoka kwa aina zote za maarifa isipokuwa zimeandikwa kwa lugha ya Kiswahili. Waandishi wanaowasilisha kwa jarida hili wanaweza kuamua kutafsiri nakala zao kwa Kiingereza na kuchapisha tafsiri katika majarida mengine yoyote tulio nayo.
PUBLISHER:
East African Nature and Science Organization,
P. O. Box 3975 - 00100, Nairobi, Kenya.
Makala
-
Kutathmini Mafunzo Tafsiri katika Matini za Kidini: Mfano wa Njia Salama
-
Changamoto Zinazowakabili Wanafunzi Wakimbizi wa Sudan Kusini katika Ushairi wa Kiswahili
-
Nafasi ya Ikolojia ya Lugha katika Mtagusano wa Kiswahili na Kibukusu katika Mawanda ya Dini katika Kaunti ya Bungoma
-
Makosa ya Kifonolojia Miongoni mwa Wanafunzi wa Kiigembe katika Ujifunzaji wa Kiswahili
-
Mchango wa Kiswahili katika Mofofonolojia ya Nominomkopo za Lubukusu
-
Baadhi Ya Sifa Za Sauti Zoloto Zinazotumiwa Na Baadhi Ya Wahubiri Wa Kipentekosti Kuwasilisha Injili Na Umuhimu Wake
-
Itikadi Katika Tamthilia za Kifo Kisimani (2001) na Maua Kwenye Jua la Asubuhi (2004)
-
Kimonro cha Mvuli asahau uume wake nrowa ni jamaa kinavowasilishwa katika Utendi wa Ramani ya Maisha ya Ndoa (Mume): Uchanganuzi Kifano
-
Kuchunguza Sababu Zinazowalazimu Wahusika Kufanya Ukahaba katika Riwaya ya Nyota ya Rehema Na Ndoto ya Almasi
-
Uhakiki Linganishi wa Kanuni za Mifanyiko ya Vivumishi vya Luganda na Kiswahili Sanifu
-
Fasihi ya Kigereza: Uhakiki wa Riwaya ya Haini (Shafi, 2003) kwa Mtazamo wa Ki-Foucault
-
Mchango wa Mofofonolojia ya Kiduruma kwa Ujifunzaji wa Sarufi ya Kiswahili
-
Mikakati ya Ushawishi katika Jumbe za Kihalifu kwenye Facebook na Baruapepe
-
Usawiri wa Mabadiliko ya Ujumi Mweusi katika Nyimbo za Muziki wa Dansi wa Tanzania: 1990-2000
-
Maumbo na Maana za Majina ya Asili ya Watu Katika Jamii-lugha ya Wagogo
-
Matumizi ya Kinaya Kubainishia Maudhui katika Fasihi ya Kiswahili: Mifano kutoka Riwaya ya Chozi la Heri na Tamthilia ya Kigogo
-
Mitindo ya Lugha Inayowabainisha Wahusika Wazimu katika Riwaya za Habwe
-
Kuchambua Mbinu za Kiaristotle na Zisizo za Kiaristotle katika Tamthiliya ya Sadaka ya John Okello
-
Tamthilia ya Kiswahili katika Ukuaji na Ustawi Endelevu wa Ujasiriamali Nchini Tanzania: Uchunguzi wa Tamthilia ya Safari ya Chinga (2009) ya Shani Omari
-
Mchango wa Ujumi Mweusi katika Unusura wa Nyimbo za Muziki wa Dansi wa Tanzania: 1970- 2000
-
Majina ya Asili ya Watu Katika Jamii-lugha ya Wagogo
-
Utathmini wa Maudhui katika Nyimbo Teule za Newton Kariuki
-
Matumizi ya Kiswahili katika Mawasiliano na Uongozi wa Kidini katika Shule za Upili Nchini Kenya: Mfano wa Shule ya Wasichana ya Itigo
-
Sifa Za Wahusika Za Kisimulizi Katika Ngano Za Wachuka
-
Mbinu Za Lugha Katika Nyimbo Teule Za Mapenzi Kwenye Kipindi Cha Mambo Mseto Cha Redio Citizen
-
Jinsi Leksimu za Mitishamba Zinavyoakisi Uhifadhi wa Mazingira ya Waswahili Nchini Kenya
-
Dhima za Tasifida Kimuktadha katika Nyimbo za Singeli: Mifano kutoka kwa Msanii Msaga Sumu na Manfongo