Athari za Mabadiliko ya Majina ya Vituo vya Mabasi katika Mkoa wa Kigoma

  • Medani Yohana Chuo Kikuu Huria cha Tanzania
  • Amulike Abraham Mwampamba Chuo Kikuu Huria cha Tanzania
Keywords: Mkoa wa Kigoma, Vituo vya mabasi, Mabadiliko ya majina ya vituo vya mabasi
Sambaza Makala:

Ikisiri

Utafiti huu ulihusu athari za mabadiliko ya majina ya vituo vya mabasi katika mkoa wa Kigoma. Uchunguzi huo uliongozwa na malengo mawili. Lengo la kwanza lilikuwa kubainisha sababu za mabadiliko ya majina ya vituo vya mabasi katika mkoa wa Kigoma. Lengo la pili lilikuwa kubainisha athari za mabadiliko ya majina ya vituo vya mabasi katika mkoa wa Kigoma kwa jamii. Data za utafiti huu zilikusanywa kwa njia ya usaili na kuchambuliwa na kuwasilishwa kwa kutumia mkabala wa kitaamuli. Kadhalika utafiti huu uliongozwa na Nadharia ya Urekebishaji Nafasi (Spatial Reconfiguration Theory). Utafiti huu ulitumia usampulishaji nasibu kuwapata madereva na makondakta 50 wa mabasi. Matokeo ya utafiti huu yalionesha kuwa mabadiliko ya vituo vya majina ya mabasi yana athari mbalimbali kwa jamii. Hata hivyo, utafiti wa makala haya ulibaini kuwa athari hasi zilitamalaki kutokana na mabadiliko ya majina ya vituo vya mabasi katika mkoa wa Kigoma. Kutokana na uwepo wa athari hasi katika mabadiliko ya majina ya vituo vya mabasi, mtafiti anapendekeza ushirikishwaji wa jamii katika kutoa majina hayo ili kuepuka athari zinazojitokeza

Upakuaji

Bado hatuna takwimu za upakuaji.

Marejeleo

Aminah, S. (2017). Muktadha wa kijamii na kisiasa katika uundaji wa majina ya vituo vya mabasi: Uchambuzi wa Dar es Salaam na Nairobi. Journal of Kiswahili Language Studies, 15(2), 45-60.

Alderman, H. (2015). Mabadiliko ya miundombinu ya usafiri katika miji ya Tanzania (Toleo la pili). East African Publishers.

Alphonce, A. C. & Sane, S. E. (2019). Toponyms and Identity in Hanang District: Their Origin and Meaning. Ethnologia Actualis, 19(1), 106-116.

Buberwa, A. (2010). Investigating of Social-Linguistic Aspects of Place Names in Ruhaya in NorthWestern Tanzania″. Dissertation M.A (Kiswahili), University of Dar es Salaam Ruhaya in NorthWestern Tanzania″.

Elihaki, Y. (2014). Majina ya Mahali katika Jamiilugha ya Chasu na Maana yake. Tasnifu M.A (Kiswahili), Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Fatma, A. (2016). Majina ya vituo vya mabasi kama alama za mabadiliko ya kijamii na kisiasa: Uchunguzi wa miji ya Kiswahili. Kiswahili and Society Journal, 14(1), 72-

Gordon, P. & Breach, W. (1977). Language in Africa, an Introductory. New York, Paris and London: Gordon and Breach Science Publishers Inc.

Hafidh, A. (2020). Mabadiliko ya Majina ya Vituo vya Mabasi: Miji ya Pwani ya Afrika Mashariki. East African Publishing House, Dar es Salaam.

Haji, S. (2015). Mchango wa historia ya kisiasa katika majina ya vituo vya mabasi nchini Tanzania. Zanzibar: Zanzibar Academic Press.

Hassan, A. (2018). Tabaka za kijamii na historia ya majina ya vituo vya mabasi: Mfano wa Dar es Salaam. Social Change Studies, 12(5), 92–111.

Juma, I. (2020). Athari za mabadiliko ya kijiografia katika uundaji wa majina ya vituo vya mabasi. Journal of Kiswahili Studies, 21(2), 67-81.

Kizza, J. (2015). Majina ya vituo vya mabasi na uhusiano wake na maendeleo ya kiuchumi katika miji ya Tanzania. Journal of Urban and Regional Studies, 17(2), 45-63.

Lefebvre, H. (1974). The production of space. Oxford: Blackwell.

Lenjima, J. (2019). Kuchunguza maana ya majina asilia ya watu katika jamii ya Wajita mkoani Mara nchini Tanzania. [Tasinifu ya shahada ya umahiri katika Kiswahili]. Chuo Kikuu Huria cha Tanzania.

Lusekelo, M. (2018). Majina ya Watu katika Jamii ya Wanyakyusa: Athari za Mwingiliano wa Tamaduni. Mbeya University Press.

Mariam, S. (2020). Mabadiliko ya Majina ya Vituo vya Mabasi: Uhusiano na Ukuaji wa Miji. Nairobi University Press.

Massamba, B. P. B. (2004). Kamusi ya isimu na falsafa ya lugha. TATAKI

Mazrui, A. (2010). Naming and cultural identity in Africa. EAEP.

Mekacha, D. K. R. (2000). Isimujamii: Nadharia na Muktadha wa Kiswahili. Japan: Osaka University of Foreign Studies.

Msangi, K. (2018). Mabadiliko ya uchumi na majina ya vituo vya mabasi katika mkoa wa Mwanza.Lake Zone Publishers, Mwanza.

Mshindo, K. (2021). Mabadiliko ya majina ya vituo vya mabasi Mbeya: Athari za miundombinu. Tanzania Development Journal, 10(1), 145–163.

Mugambi, E. (2019). Institutional change and public service delivery in East Africa. Public Policy and Administration, 34(2), 145-160.

Mwandishi, A. (2017). Majina ya Miji na Usajili wa Vituo vya Mabasi katika Mkoa wa Dar es Salaam. East African Publishing House, Dar es Salaam.

Mwandosya, P., & Hamis, E. (2020). Vijenzi vya kimofolojia katika majina ya vituo vya mabasi: Uchambuzi wa Dar es Salaam. Kiswahili Studies Review, 29(1), 15-30.

Mwendo, T. (2016). Mabadiliko ya kisiasa na majina ya vituo vya mabasi: Uchunguzi katika mji wa Arusha. Political Studies Journal, 8(3), 102–123.

Mwita, A. (2015). Mabadiliko ya Majina ya Vituo vya Mabasi katika Miji Mikuu ya Tanzania. Dar es Salaam: African Studies Bookstore.

Nassoro, A. (2019). Mabadiliko ya majina ya vituo vya mabasi na athari zake katika jamii ya Kiswahili. Kiswahili Publishers.

Obiorah, K. (2021). Lagos` Bus Stop Names and their Pronouciation by Danfo Bus Conductors. Jurnal Arbitrer-(2021), VOL.8 NO2.

Pride, J. B. (1972). Social Linguistic. London: Penguin Books Ltd, Harmond Sworth.

Ralph, F. (1987). Sociolinguistic of Society. New York: Basil Blackwell Inc.

Ramadhan, Y. (2020). Mabadiliko ya Majina ya Vituo vya Mabasi katika Miji inayokua. Tanzania Urban Development Publishing, Dar es Salaam:

Raper, E. P. (1993). Geographical Names in the World. South African. Journals of Millitar Studies: Vol 23, Nr 1, 1993.

Rashid, H. (2017). Mabadiliko ya Majina ya Vituo vya Mabasi Zanzibar na Tanga: Mchango wa Uchumi. Zanzibar: Zanzibar University Press.

Salim, A. (2019). Utamaduni wa Kiswahili na majina ya vituo vya mabasi mkoani Tanga. Tanga: Tanga Regional Press.

Schotsman, P. (2003). Place-Names and History in Dar es Salaam. Leiden: University Press.The Rootedness and Uprootedness. In Butter, and D. Seamon (eds).

Shabani, K., & Ritha, O. (2017). Kiswahili na Utamaduni wa Majina ya Vituo vya Mabasi. Dar es Salaam: Swahili Books.

Soja, E. W. (1989). Postmodern Geographies: The Reassertion of Space in Critical Social Theory. London, UK: Verso.

Tandika, E. (2018). Majina ya vituo vya mabasi kama sehemu ya utamaduni wa Kiswahili. Kiswahili Cultural Review, 16(1), 33-47.

TUKI, (2004). Kamusi ya Kiswahili Sanifu. Dar es Salaam: Oxford University Press.

Ullmann, S. (1964). Semantics an Introduction to the Science of Meaning. Oxford: Basil Blackwell Inc.

Wambura, J. (2016). Mabadiliko ya majina ya maeneo na athari zake kwa jamii (Toleo la tatu). Kiswahili Research Publications.

Yassin, M. (2020). Athari za Miundombinu kwa Majina ya Vituo vya Mabasi. Dar es Salaam: Tanzania Development Publications.

Zuberi, N., & Amri, S. (2016). Mabadiliko ya Majina ya Vituo vya Mabasi Dar es Salaam na Nairobi: Uchunguzi wa Kijamii na Kiuchumi. Dar es Salaam: Dar es Salaam University Press.

Tarehe ya Uchapishaji
24 November, 2025
Jinsi ya Kunukuu
Yohana, M., & Mwampamba, A. (2025). Athari za Mabadiliko ya Majina ya Vituo vya Mabasi katika Mkoa wa Kigoma. Jarida La Afrika Mashariki La Masomo Ya Kiswahili, 8(3), 108-116. https://doi.org/10.37284/jammk.8.3.4054