ISSN Chapishi: 2707-3467 | ISSN ya Mtandaoni: 2707-3475
DOI ya Jarida: https://doi.org/10.37284/2707-3475
Maendeleo ya Kiswahili kama lugha ni muhimu katika kukuza na kuhifadhi utamaduni wa kiasili, maarifa na dini katika mikoa inayozungumza Kiswahili barani Afrika. Jarida hili linalokaguliwa na wanarika kwa hivyo linachapisha nakala za Kiswahili tu. Nakala zinazoweza kuchapishwa chini ya jarida hili ni nakala kutoka kwa aina zote za maarifa isipokuwa zimeandikwa kwa lugha ya Kiswahili. Waandishi wanaowasilisha kwa jarida hili wanaweza kuamua kutafsiri nakala zao kwa Kiingereza na kuchapisha tafsiri katika majarida mengine yoyote tulio nayo.
PUBLISHER:
East African Nature and Science Organization,
P. O. Box 3975 - 00100, Nairobi, Kenya.
Makala
-
Vipengele vya Uwasilishaji wa Wahusika wa Kimazingaombwe na Uhusika: Mifano katika Watu wa Gehenna na Babu Alipofufuka
-
Mifumo ya Kijamii katika Tamthilia Teule za Kiswahili
-
Umuhimu Wa Kufundisha Lugha Ya Kiswahili Katika Shule Za Sekondari Nchini Uganda
-
‘Siyasa ni Tʰanga si Nanga’ Mwangwi wa Funzo la Kisiyasa na Azimiyo la Abd̪ilat̪if Abd̪alla Kifungoni: Ut̪afit̪i Kiyelelezo wa Kutendana Katika Sauti ya Dhiki
-
Matumizi ya Lugha Kwenye Malezi ya Watoto: Mfano wa Matumizi ya Semi Katika Jamii ya Wamasaaba Nchini Uganda